Bila ya Khilafah ni Utumwa na Dhulma-2

12

Khutba ya Ijumaa 10 Rajab 1438 Hijri / 07 Machi 2017 Miladi

 BILA YA KHILAFAH NI UTUMWA NA DHULMA -2

Alhamdullilah !  tumeingia Ijumaa ya pili ya mwezi mtukufu wa Rajab 1438.  Mwezi ilipoangamizwa kwa uadui dola ya Kiislamu ya Khilafah na kuuwacha Umma wa Kiislamu na wanadamu kwa jumla katika kiza totoro cha utumwa na dhulma.

Miongoni mwa msiba, utumwa na dhulma baada ya kuangushwa Khilafah ni katika upande wa kielimu. Vibaraka waliokabidhiwa kusimamia Waislamu baada ya ardhi za Waislamu kumegwa vipande vipande  walipatiwa sera ya kikoloni ya kielimu isiyomuandaa mwanafunzi kuwa huru kifikra wala kumjengea ubunifu. Sera hiyo inawafanya Muislamu na wanadamu kwa jumla kubakia kuwa watumwa, kuipupia dunia na kuitupa akhera na wasomi kujiona ni watu wa tabaka maalumu.  Ni elimu ya kuwaandaa Waislamu na wanadamu kuwa watumishi na watetezi bila ya hoja mfumo wa kibepari. Ni elimu isiyokuwa na meno ya kuwafanya wanafunzi kuwa  wavumbuzi, kwa kuwa kiasili nchi zao haziko huru, ambayo ndio nyenzo ya kimsingi katika hilo.  Matokeo yake wanafunzi hukaririshwa namna wengine walivyofikiri na sio kufanywa wao wafikiri. Wakoloni katika masomo ya kithaqafa (arts) wanawahifadhisha wanafunzi shehena ya nadharia za wanafikra wao. Matokeo yake wanaoitwa wasomi wa masomo ya kithaqafa (arts) hawana zaidi ya kukariri kama kasuku nadharia za kimagharibi. Na wanaosoma sayansi hubakia kusoma historia ya wavumbuzi badala ya wao kuvumbua. Pamoja na ubovu wa elimu hiyo pia ikageuzwa kuwa biashara ya gharama kubwa. Ripoti ya 2014 ya Shirika la UNESCO imebainisha kuwa zaidi ya watu milioni khamsini katika ulimwengu wa Kiislamu hawajui kusoma na kuandika. Aidha, robo ya watu wote katika nchi zinzazoendelea hawajui kusoma na kundika! Licha ya utajiri na rasilmali zilizomo ndani ya nchi za Kiislamu raia wametumbukizwa utumwani na kudhulumiwa waziwazi kwa kukosa elimu. Hiyo ni hasara kwa Waislamu na wanadamu kwa kuwa elimu leo ni biashara asiyoweza kumudu kamwe mtu mnyonge.

Dola ya Kiislamu ya Khilafah zama zote ilijifunga na mwenendo wa Mtume SAAW kwa kuipa elimu kipaumbele kwa kuwa ni uti wa mgongo, uhai na nyenzo muhimu kuilinda aqeedah ya Uislamu. Kama Mtume SAAW alivyowatuma maswahaba wawili kwenda kuchukua teknologia ya utengezaji wa silaha kwa bingwa  Jurash wa Yemen, Pia ni Khalifah Umar ibn khatwab ndiye aliyeanzisha teknolojia ya kutengeneza manowari. Aidha, makhalifa waliokuja waliwekeza katika elimu kiasi cha ulimwengu wa Kiislamu kumiliki miongoni mwa vyuo vikuu vya mwanzo vyenye hadhi kama Baitul-Hikma ndani ya Iraq na chuo kikuu cha Al-Qarawiyyin ambacho miongoni mwa wanafunzi wake ni Papa Sylvester II wa Kanisa Katoliki. Hali hii iliifanya Khilafah kuwa dola kuu sio tu kifikra na kijeshi bali katika nyanja zote za kielimu kwa zaidi ya karne kumi. Zama ambazo 95% ya watu wa Ulaya hawakujua kusoma wala kuandika! Leo mambo yamegeuka juu chini. Msiba na dhulma unaopaswa kufutiliwa mbali.

Enyi Waislamu na wanadamu,

Kama zilivyofanya Khilafah zilizotangulia katika elimu ndio itakavyofanya dola ya Khilafah itakaporudi na kuzidi mafanikio yaliyopita InshaAllah. Itazitumia rasilmali na utajiri mkubwa uliopo kufikia lengo hilo.  Itawekeza katika kuifinyanga haiba ya mwanafunzi na kuzalisha wabunifu na fani mbali ili kuhamasisha uvumbuzi. Utaijenga elimu juu ya utulivu wa nafsi na kuepuka shehena ya nadharia ambazo hazina uhalisia wowote. Kubwa elimu itasimamiwa na dola huru isiyoingiliwa katika mambo yake wala kupangiwa sera na madola ya kikoloni.

https://hizb.or.tz/

https://www.facebook.com/Hizb-ut-Tahrir-Tanzania

12 Comments
  1. Ramona says

    At this time I am going to do my breakfast, when having my breakfast coming yet again to
    read other news.

  2. Calyn says

    Hi exceptional blog! Does running a blog similar to this require
    a massive amount work? I have very little understanding of
    coding however I was hoping to start my own blog in the near future.
    Anyhow, if you have any ideas or tips for new blog owners please share.
    I understand this is off topic nevertheless
    I just needed to ask. Thanks a lot!

  3. Cheyla says

    Good day! This is kind of off topic but I need
    some help from an established blog. Is it difficult to set up
    your own blog? I’m not very techincal but I can figure
    things out pretty quick. I’m thinking about setting up my own but I’m not sure where to begin. Do you have any ideas or suggestions?
    With thanks

  4. Nicki says

    Thank you for the auspicious writeup. It in fact was a amusement
    account it. Look advanced to more added agreeable from you!
    By the way, how can we communicate?

  5. Vicky says

    I am really impressed with your writing skills and also with the layout on your blog.
    Is this a paid theme or did you modify it yourself? Either way keep
    up the excellent quality writing, it is rare to see a nice blog like this one today.

  6. Kiauna says

    Hi there, every time i used to check weblog posts here in the early hours in the daylight,
    since i love to gain knowledge of more and more.

  7. Carleton says

    Generally I don’t learn post on blogs, but I wish to say that this write-up very compelled me
    to check out and do it! Your writing style has been amazed me.

    Thanks, quite great article.

  8. Martell says

    Hi would you mind letting me know which web host you’re working with?
    I’ve loaded your blog in 3 different browsers and I must say this blog loads a lot faster then most.
    Can you recommend a good web hosting provider at a reasonable price?
    Thanks a lot, I appreciate it!

  9. Kiandra says

    Awesome post.

  10. Free Infinite Porn Videos () says

    Just relax here and leave aside all your problems.

  11. buy RX says

    In fact, Bach’s hospital refused the colon cancer drug Zaltrap in 2012 because
    it cost double that of a reasonably good alternative, Avastin. Saturn’s first hybrid is the 2006 Vue
    Green Line.

  12. Glenda U says

    I was looking at some of your articles on this website and I believe this website is very informative!
    Retain putting up.Raise blog range

Leave A Reply

Your email address will not be published.

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.