Waachiwe Huru Sio Magaidi.3

13

Risala Ya Wiki No. 10
Ramadhan 1439 Hijri / Juni 2018 Miladi

Ni katika mwezi huu mtukufu wa wa Ramadhani ambapo Mtume wetu SAAW alianza kupewa wahyi kwa ajili ya kuufikisha na kuwakomboa wanadamu wote kutokana na kila aina ya madhila, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa nk.
Risala ya Mtume SAAW licha ya kuwa ikitumia njia ya kifikra na kisiasa bila ya kuhusisha nguvu, vurumai wala fujo ilikabiliana na kila upinzani, shutma na uadui mkubwa kutoka kwa makafiri wa kiquraishi wa Makka.

Uadui huo ulianza kwa propaganda chafu za uwongo hadi kudiriki kutumia vitisho na nguvu. Haikumalizia hapo bali Waislamu waliendelea kuhujumiwa katika nyanja mbali mbali kama kuekewa vikwazo, kutengwa, mateso na hadi baadhi ya wafuasi wa Mtume SAAW kuuwawa mashahid. Mfano, hai ni familia ya mzee Yassir.

Mtume SAAW alitambua fika kuwa ujumbe wake ni mzito na sio mzahamzaha, kwa kuwa daima kanuni ya kudumu ya haq lazima ilete mgongano na batil, ndio maana mara alipoaanza kupokea wahyi awali kabisa alitamka wazi kwamba: ‘hakuna tena raha baada ya leo’

Mateso, vikwazo na idhilali dhidi ya Waislamu wa mwanzo na mpaka wa mwisho ni kutokana na ukweli kuwa risala (ujumbe) ya Kiislamu kwa kuwa ni haq kutoka kwa Muumba lazima izae mgongano wa kimaumbile na mifumo amma taratibu zote zilizo kinyume nao. Kwa maneno mengine Uislamu (haq) haviwezi kuwiva chungu kimoja na ukafiri (batil)

Ni kwa sababu ya ukweli huo ndio wakati wote katika historia, vitu viwili hivyo vimekuwa vikigongana migongano ya wazi kwa kuwa vina mielekeo na vipimo tofauti, kamwe haviwezi hata siku moja kuwepo bila ya mgongano.

Mitume (A.S) waliotangulia walikabiliana na upinzani kutokana na ukweli huo, Mtume SAAW alipambana na hali hiyo hiyo, masahaba zake ni vivo hivyo, basi hiyo ni dalili fika kuwa kuwa jambo hilo ni mchakato endelevu kwa kila mwenye kuibeba haq inavyostahiki kubebwa kwa udhati wake, yatamsibu yale yale yaliyowasibu walio kabla yetu.

Leo magereza na mahabusu ulimwengu mzima yamesheheni Waislamu walio kizuizini pasina makosa (hatia) ikiwemo pia hapa Tanzania ambapo ndugu zetu wanachama watatu wa Hizb ut Tahrir, Ustadh Ramadhan Moshi, Omar Salum na Waziri Suleiman, wote wakiwa ni walinganizi wa Uislamu kwa kutumia njia ya Mtume (SAAW) isiyohusisha matumizi ya nguvu wala mabavu. Lakini kinachowasibu wao na wengineo ni kile kile kilichowasibu waliotangulia. Ni natija/matokeo ya mgongano baina ya haq na batil.

Tuchukue fursa hii kuwaarifu kuwa ndugu zetu hao watatu tuliowataja majina yao, yaani Ustadh Ramadhan Moshi, Waziri Suleiman na Omar Salum watafikishwa tena mahkama ya Wilaya, Mtwara Mjini InshaaAllah kesho tarehe 06/06/2018 kwa ajili ya kutajwa tena kesi yao.

Itakumbukwa kuwa ndugu zetu hao wamekuwa mahabusu zaidi ya miezi sita sasa bila ya kesi yao kuendeshwa. Tuchukuwe fursa hii kumuomba kila mpenda haki na uadilifu kusimama kidete kukemea dhulma hii inayombatana na ubaguzi wa wazi wa kidini.

Aidha, tunawataka wasimamizi wa sheria wawachie huru vijana hao mara moja ili waendelee na maisha yao na familia zao, kwa kuwa hawana tembe ya hatia.

Mwisho, tuwaombe Waislamu licha ya wao kukemea dhulma na uonevu huu, pia wayatumie vyema masiku haya kumi matukufu ya kumi la mwisho wa Ramadhani, kumuomba Muumba kwa unyenyekevu ili Awakomboe ndugu zetu hao na Waislamu wote ulimwengu wakiwemo ndugu zetu Waislamu wa Jumuiya ya Uamsho kutokana na wimbi hili zito la dhulma na uonevu.

#WaachiweHurusioMagaidi

Afisi ya Habari – Hizb ut- Tahrir Tanzania

20 Ramadhan 1439 Hijri | 05-06-2018 Miladi

https://hizb.or.tz/

https://www.facebook.com/Hizb-ut-Tahrir-Tanzania

13 Comments
  1. gygienede says

    buy cialis generic I have liquidex on hand i grabbed from ar r, but since you are against it shall i just fight through 10 weeks of cycle disregarding the lethargy and low sex drive to see maximum gains, or incorporate arimidex

  2. gygienede says

    Natural products have been found to have great effects in disrupting the bacterial membrane 67 kamagra similar Finally, with respect to sleep continuity disturbance, only two studies have evaluated the direct association between sleep continuity disturbance and infertility

  3. Vow says

    Fresh, younger-looking, fuller lips without injections or needles. The Hyaluron Pen Lip Infusion is the best alternative to traditional lip augmentation procedures. It is non-invasive and uses a natural-occurring substance in your body, called Hyaluronic Acid, to create a plumper effect in your lip area. It is the simplest, most practical, and safest way to achieve healthy, voluminous lips today! The treatment can also be used to reduce signs of aging in the naso-labial lines and forehead. Using this pen on the clients is very simple. We call this pen reliable and simple because you don’t have to risk the skin of your clients with needles, rather an air pressure with hyaluronic acid molecules, nano in size, flows into the skin’s upper layer and gives instant results. The Hyaluron pen is 0.16-7 mm wide which is a way smaller diameter than a needle. The epidermis layer is a papillary layer where the inserted acid goes so there is no bleeding as the pressure does not reach the blood vessels.
    http://rhalipfiller3.huicopper.com/rha-3-lip-filler
    Ellanse can be administered to both men and women who exhibit signs of aging or is in need of facial corrections. Being a biocompatible and bioresorbable material, these fillers are excellent options for patients over the age of 18. Ellanse is effective for patients who wish to: It is the unique dermal filler which offers a safe longevity. The dermal fillers is specifically designed for use by experienced aesthetic doctors with correction results lasting from two to four years. Ellanse is made of Poly-Caprolactone (PCL) and is a well-known biological soft medical polymer. Ellanse M can be used to: Already a member?Login Investing in your skin is investing in yourself. And, understanding what you put in your body is a crucial first step before undergoing any invasive or non-invasive cosmetic procedure. A popular choice among patients and doctors alike, fillers can help transform not only your lips but also restore youth and regenerate your facial features.

  4. Fak says

    Bruce Linton, founder of the world’s biggest marijuana firm, has made a bet on the growth of the legal cannabis market in Germany. Freyherr International listed in July and says it is a ‘profitable, vertically integrated medicinal cannabis company’ operating in Slovenia. Sativa Group is a seed-to-sale business focused on CBD products for the medicinal and wellness markets, which hopes to become one of a handful of firms allowed to grow cannabis with high levels of THC for medicinal research and development purposes.   The table below includes fund flow data for all U.S. listed Marijuana ETFs. Total fund flow is the capital inflow into an ETF minus the capital outflow from the ETF for a particular time period. Fund Flows in millions of U.S. Dollars.
    https://laatwaaipapagaai.org/forum/profile/bellae531338434/
    1) PATIENT RECORD: The healthcare provider’s record for the patient must include the requirements for all medical records and, in addition, contain the treatment agreement signed by the patient.   The Registrar will consider written submissions as to why the proposed store is not in the public interest as set out in the regulation made under the Cannabis Licence Act, 2018. The following are matters of public interest that can be considered by the Registrar: Most research suggests a very low risk of addiction and very low toxicity of medical marijuana when taken as recommended in low therapeutic doses. There is concern about psychological dependence in heavy users and whether this constitutes marijuana abuse. Some research has suggested CBD oil might be useful in the treatment of marijuana addiction or marijuana abuse.

  5. This is my first time pay a quick visit at here and i am really happy to read everthing at one place

  6. Live TV says

    Some really excellent info I look forward to the continuation.<a href="https://www.clients1.google.co.cr/url?sa=t

  7. Denielle says

    Link exchange is nothing else except it is simply placing the other person’s web site link on your
    page at suitable place and other person will also do similar in favor of you.

  8. alkass extra live says

    Pretty! This has been a really wonderful post.any thanks for providing these details.-vox live jetzt

  9. hot deals says
  10. hey dude says

    We always follow your beautiful content I look forward to the continuation. – kids hey dudes

  11. air jordan air jordan 1 says

    But wanna say that this really is quite helpful Thanks for taking your time to write this.

  12. Clicking Here says

    Great post! Congratulations! More Help

  13. Blythe S says

    I like this site very much, Its a rattling nice berth to read and
    receive information.Raise range

Leave A Reply

Your email address will not be published.

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.