Jee Yaruhusiwa Khilafah Kuwatoza Kodi Waislamu?

120

Swali

Asalaam alaykum warhmatullah wabarakatuhu, Allah akuzidishie istiqama,

Nina swali ambalo natumaini utanijibu.  Inafahamika kuwa“kodi” ni haramu katika Uislamu, Sasa ni vipi serikali itaweza kumudu nakisi (upungufu) katika matumizi yake hali ya kuwa hakuna At-tawzheef, Al- Ushoor, na Al- kharaaj katika zama za leo!?   Kutoka kwa Khalid Aali Yaseen.

Jibu :

Wa alaykum salaam Warahmatullah wabarakatuhu,

Inaonesha una sintofahamu katika sehemu ya swala hili. Kauli yako kuwa kodi ni haramu katika Uislamu, hilo ni sahihi kiujumla wake. Ila kuna mazingira haswa huwa inaruhusiwa. Pia umesema hakuna Al- ushoor na Al kharaaj katika zama za leo, hili sio sawa, kwa kuwa yafahamika wazi kuwa biladi za Kiislamu imma ni  ardhi za Ushriyah au Kharajiyah, na zote hizi zipo leo katika zama zetu. Pia umetaja “At- Tawzheef” ambayo haina mahusiano na mada hii wala muktadha huu kwa hali yoyote.  Nitatoa majibu swarikh kwako kuhusiana na jambo hili ili kusibakie sintofahamu wala utata Inshaa Allah.

  1. Sheria za Kiislamu imekataza mamlaka (serikali) kutoza kodi Waislamu kwa amri na utashi wake. Mtume SAAW anasema: “Anayechukua kodi ( sahib maks) hataingia peponi” Hadith amepokea Ahmad na ameisahihisha Az Zain na Al Haakim. Na tamko “ maks” hapa ni kodi (ya forodha ) inayotozwa wafanyabiashara mipakani mwa nchi ( wanapoingiza bidhaa katika nchi husika) na  uharamu wake unaenea katika kila aina ya kodi kwa kauli ya Mtume ( SAAW)  kutokana na hadithi iliyoafikiwa na kusimuliwa na Abu Bakrah inayosema: “Damu zenu, mali zenu na heshima zenu ni (tukufu) na haramu (kwenu kuchukuliana) kama ulivyo utukufu wa siku yenu hii,  katika ardhi yenu hii, katika mwezi wenu huu…..

Na makatazo hapa ni kwa watu jumla (amm) ikimhusisha pia na Khalifah  pamoja na watu wote. Kwa hiyo, ni haramu kwa Khalifah ( serikali) kutoza kodi kwa ajili ya matumizi yake, bali anatakiwa atumie kutoka Baitul maal. (Hazina ya dola)

  1. Hata hivyo kuna hali na mazingira fulani ambapo sheria imeyavuwa na kuruhusu jambo hili (kutoza kodi) licha ya kuwa kwa ujumla wake ni haramu. Hapa ni pale ambapo nass/ sheria imefafanua kuwa matumizi yanayodhamiriwa ni wajibu wa Waislamu wote na si Baitul maal pekee. Katika hali hii, kama Baltul maal haijitoshelezi pekee basi uwajibu unahamia kwa Waislamu jumla, na kodi haina budi kutozwa kwa matajiri ( watu wenye uwezo) kwa mujibu wa kipimo maalumu cha matumizi ( nafaqah). Na itatumika kutatua hitajio (matumizi)  yaliyokusudiwa tu na sio zaidi. Kodi katika hali hii huwa si kwa matakwa wala matamanio  ya Khalifah ( Serikali) bali huwa ni kwa mujibu wa sheria  za Allah Taala, na utawala hufanyia kazi tu amri za Allah Taala katika hilo.

Kwa ufahamu huu, kwa matumizi ambayo sheria imewajibisha Bait ul-maal na Waislamu, kama Baitul maal itakosa uwezo, kumalizikiwa au kupungukiwa, hapo huwa ni jukumu la Khalifah (serikali) kutoza kodi wenye uwezo ili kufikia matumizi hayo kwa mujibu wa hukumu za kisheria. Na  kodi katika hali au mazingira haya huwa si haramu.

  1. Kwa mujibu wa maelezo yaliyotangulia, ni wazi kuwa ili kodi iruhusiwe kutozwa kwa ajili ya matumizi fulani, ni lazima iambatane na sharti hizi:
  • Kuwe hakuna uwezo kutoka Baitulmaal kumudu matumizi ya hali iliyokusudiwa.
  • Nusus za kiSheria ziwe zimeonesha wazi kuwa matumizi yanayokusudiwa ni wajibu wa Bailtul maal na Waislamu kwa ujumla.
  • Kodi itakayotozwa isizidi matumizi ya jambo husika.
  • Kodi itozwe wenye uwezo tu, ambao wana ziada juu ya mahitajio yao msingi na ziada kwa mujibu wa maisha wanayoishi ( Bil-Ma roof)
  1. Hivyo, kodi katika Uislamu haitozwi isipokuwa katika hali hizo tulizozisema.
  • Kwa mfano, matumizi juu ya kusaidia mafuqara. Kama Baitul maal itashindwa kumudu kuwahudumia, basi kodi hutozwa kwa wenye uwezo kwa mujibu wa kinachohitajika bila ya kuzidisha ili kukidhi matumizi haya. Kwa kuwa jukumu la kuwahudumia mafuqara sio la  Baitul maal pekee, bali ni jukumu la Waislamu jumla. Al-hakim amepokea katika “Al- Mustadrak” hadithi ya Aishah (r.a) amesema , amesema Mtume wa Allah (SAAW) kuwa :
  • “ Si Muumini anayelala ameshiba ilhali jirani yake ana njaa”

Pia katika Hadithi iliyopokelwa na  Al- Tabaraani katika “Al – Mu’jam Al- Kabeer” imesimuliwa na Anas bi Malik ( r.a) amesema kuwa , amesema Mtume (SAAW):“Hajaniamini mimi yule ambaye amejitosheleza katika (matumizi) usiku wake, hali ya kuwa jirani yake ana njaa naye anajua jambo hilo”

  • Amenukuu pia Al- Haakim katika ‘Al- Mustadrak’ masimulizi ya Ibn Umar (ria) kuwa, amesema Mtume wa Allah SAAW : “ Katika eneo ambapo watu huishi pamoja, akapambaukiwa mmoja miongoni mwao ana njaa,( na hawakumsaidia) basi dhima (ulinzi)  ya Allah huwekwa mbali na  watu hao”
  • Kwa mfano, matumizi katika Al-Jihad, kama Baitul maal haitajitosheleza kumudu, kodi itatozwa kwa wenye uwezo, kwa kiwango hitajika bila ya kuzidisha ili kukidhi matumizi yake. Kwa vile matumizi katika Al-Jihad si wajibu kwa Baitulmaal pekee bali ni wajibu kwa Waislamu wote. Amesema Allah Subhanah :
  • ..وَجَاهِدُوا بِأَمْوَالِكُمْ وَأَنفُسِكُمْ فِي سَبِيلِ اللَّهِ ذَلِكُمْ خَيْرٌ لَكُمْ إِنْ كُنتُمْ تَعْلَمُونَ (التوبة: 41)

”Na piganeni katika njia ya Allah kwa nafsi zenu na mali zenu, na hilo ni bora kwenu ikiwa mnajua (TMQ Al Tawba : 41 )

  • Pia kuna dalili nyengine mbali na hizo  tulizozitanguliza:
  • Kwa mfano, matumizi juu ya mishahara ya wanajeshi, kama Baitul maal haitamudu matumizi basi kodi itatozwa kwa wenye uwezo kiasi cha kumudu matumizi bila ya kuongezwa. Kwa vile hili ni jukumu la Baitul maal na Waislamu pia.  Ahmad amepokea katika Musnad yake  hadith ya Abdullah Ibn Amr, kuwa amesema SAAW:

“ Mpiganaji Mwanajeshi (Ghaazi)  ana malipo yake, na Jaail          ( anayetoa mali kwa ajili ya kupigana ) ana malipo yake na malipo ya mpiganaji ( mwanajeshi)

  • Amma kwa mfano matumizi kwa ajili ya kujenga hospitali katika mji ambao hakuna, na watu wanadhurika kwa kukosekana kwake. Kama Baitul maal haitamudu hili, basi kodi itatozwa kwa wenye uwezo kwa mujibu wa kiwango kinachohitajika bila ya kuzidisha ili kufikia matumizi hayo. Hii ni kwa sababu uwepo wa hospitali ni jambo muhimu na kukosekana kwake huleta madhara. Hili ni jukumu la Baitul maal na Waislamu wote. Pia katazo (nahi) la kusababisha   “dhara” limekuja kwa sura ya jumla (amma).  Al Haakim amepokea katika Al Mustadrak na amesema  hadithi ni sahihi katika Isnad yake, amesimulia Abu Saeed Al Khudri ( r.a) kuwa, amesema Mtume wa Allah ( s.a.w) kuwa,Hakuna madhara wala (msaada) kwa msababishaji madhara , Mwenye kuleta dhara, Allah nae humdhuru, na mwenye kuleta uzito kwa watu  Allah humletea ugumu pia ( katika mambo yake)”.
  • Na mfano wa matumizi katika masuala ya dharura na matukio ya majanga yanayoweza kuusibu Ummah kama ukame, mafuriko au matetemoko ya ardhi nk…. Kama Bait ul maal haitojitosheleza, pia kodi hutozwa kwa wenye uwezo kwa kiwango kinachohitajika bila ya kuzidisha ili kukabiliana na janga hilo. Kwa vile hili ni jukumu la Baitul maal na Waislamu pia. Amepokea Abu Dawud katika “ Sunan” yake kutokana na masimulizi ya Hujair Al Adawi, kuwa amemsikia Umar Ibn Al Khataab amesimulia  kutoka kwa Mtume SAAW  ambae kasema :   ‘’Saidia wenye shida na waongoze waliopotea’’. Suala la ukame (na majanga mengine) linaingia ndani ya ushahidi huu.
  1. Ama juu ya matumizi ambayo ni wajibu kwa Baitul maal pekee na si wajibu kwa Waislamu, hayo hayatekelezwi mpaka kuwepo uwezo wa kufikiwa toka Bautul maal pekee. Hata endapo Baitul maal haijitoshelezi kodi haitozwi kwa Waislamu ila  husubiriwa mpaka Baitul maal itakapojitosheleza. Haya ni masuala yanayohusisha maslahi miongoni mwa maslahi ya Ummah ambayo kutofanyika kwake hakuleti madhara kwa Ummah.  Kwa mfano, ujenzi wa barabara nyongeza ilhali ipo barabara, ujenzi wa hospitali ya pili katika eneo ambalo tayari lina hospitali ambayo inatosheleza mahitaji. Au kama kuanzisha, kuweka mitambo ya kuchimba makaa ya mawe miradi ya viwanda ambayo kutokuwepo kwake hakuathiri Ummah kama machimbo ya makaa ya mawe, kujenga bwawa la kuhifadhia maji,amma kuunda meli ya kibiashara nk. Mambo haya na mfano wake hayafanywi ila kwa Baitul maal inapokuwa inaweza kuyasimamia kimatumizi.
  2. Ama kuhusu kutoza kodi wenye uwezo pekee hii ni kwa sababu, kodi haichukuliwi ila kutoka katika ziada ya matumizi ya watu, baada ya kujitosheleza mahitaji yao msingi, muhimu (Al haajaat Al – Asaasiyah) na ya ziada kwa mujibu hali za uhalisia wa kimaisha ya watu ( Bil maroof). Hivyo, imekuwa kodi ni kwa Waislamu wenye ziada katika kipato na matumizi (wenye uwezo), na yule asio na ziada baada ya mahitajio yake ya msingi, kodi haitochukuliwa kwake. Hii ni kwa sababu ambae hana cha ziada baada ya mahitajio msingi, huwa hakuna cha kuchukuwa kutoka kwake. Na hii ni kutokana na kauli ya Mtume (SAAW):

Sadaqah bora ni inayotolewa juu ya mgongo wa utoshelezi” (ghinaa), (Bukhari kwa masimulizi ya Abu Hurairah)

Na utoshelezi hapa ni ziada ambayo mtu anaweza kuendesha maisha yake bila ya kitu hicho. Na Muslim amepokea kutokana na Jaabir kuwa amesema Mtume SAAW ; “ Anza na nafsi yako kwa kuipa swadaka, kisha  kama kuna kilichobakia wape familia yako, kama kuna ziada wape jamaa zako, kama kuna ziada. Towa kwa namna hiyo… gawa kwa kila aliye mbele yako, kuliani kwako na kushotoni kwako”.

Na kodi ni mfano wa nafaqh na ni kama sadaqh ikiwa mtoaji hana uwezo, basi anaekusudiwa kupewa hucheleweshwa. Na ni mfano wa nafaqah na swadaka  kama aliyosema Allah Taala:

وَيَسْأَلُونَكَ مَاذَا يُنفِقُونَ قُلْ الْعَفْوَ (البقرة: 219)

 “ Na wanakuuliza kuhusu kutoa waambie “Al- Afwa’ ( kile kinachozidi katika matumizi), (TMQ 2:219).

Na hii inamaanisha ni kile kisichoathiri matumizi msingi. Yaani ziada katika matumizi. Hivyo kodi huchukuliwa kutoka kwa wenye uwezo pekee kwa vile wao ndiyo huwa na ziada, na haichukuliwi kutoka kwa masikini.  Na wenye uwezo watakuwa wanafahamika na idara ya mambo ya Zakah

  1. Amma juu ya kuchukuliwa kodi kwa kiwango tu cha kutosheleza mahitaji ya jambo husika, hii ni kwa sababu nusus za kisharia zimeruhusu kuchukuliwa kodi pale penye haja ya kukidhi matumizi husika. Kwa msingi huo ni wajibu kusimama juu ya mpaka uliotajwa na sharia. Kinyume na hivyo itakuwa dhulma. Hii ni kwa sababu kimsingi sio ruhusa kuchukuwa mali ya mtu ila kwa idhini yake, isipokuwa katika hali na mazingira maalumu yaliyovuliwa ambapo sharia imeruhusu kuweka kodi kwa kiwango au kwa haja husika.
  2. Kwa kuzingatia hayo tuliyojadili, imethibitika kuwa dhana ya kuwepo nakisi (upungufu) ya kudumu au ya muda ndani ya bajeti ndani ya dola ya Khilafah ni suala la kufikirika lisilo na uhalisia na liko nje ya muktadha. Hii ni kwa sababu suala la kutojitosheleza (nakisi) kwa bajeti katika Khilafah ni jambo lisilotarajiwa ikiwa Uislamu utatekelezwa ipasavyo. Nalo ni kwa sababu kuu mbili:
  3. Hukumu za sheria zimeainisha kwa kina vyanzo vya mapato ya Serikali  na namna ya matumizi yake. Haikuliacha suala hili katika ijtihad ya watu na matakwa yao. Imefafanua matumizi kuhusiana na baadhi ya mambo bila ya kuhusisha kuwepo au kutokuwepo fedha katika Baitul.  Kwa vile matumizi huweza kuwa ni wajibu wa Baitul maal na Waislamu kama tulivyokwisha elezea hapo awali juu ya matumizi ya wajibu yafanywe, amma kuna fedha katika Baitul maal au hakuna. Na kodi hutozwa katika hali kama hii ikiwa Baitul maal haina fedha kwa matumizi hayo.
  4. Vyanzo vya kudumu vya mapato vya Baitul maal ni : Al- Ghanaaim, Al- Anfaal, Al- Fai’I, Al- Kharaaj na Al- Jizyah.

Na juu ya hayo kuna mapato kutoka mali ya Umma katika sampuli zake mbalimbali,  mali za serikali,  Ushoor , Khumus, Rikaaz, Madini na mali za Zakaah.

Kiuhalisia vyanzo vya kudumu vya mapato ya Baitu maal hutarajiwa  kutosha matumizi kwa yale yanayoilazimu Baitul maal, Hivyo kutokea kwa kutojitosheleza au upungufu kwa Baitul maal kufikia matumizi ni jambo lisilotarajiwa kabisa.

Maelezo ya kina kuhusu hayo yanapatikana katika vitabu vyetu: Nidhamu ya Kiuchumi ya Kiislamu, Mapato katika Dola ya Khilafah, na Utangulizi wa Katiba.

Nataraji majibu haya yamekutosheleza kwa idhini ya Allah.

Nduguyo  Ata bin Khalil Abu Al- Rashtah

Imefasiriwa na Said Bitomwa

120 Comments
  1. Nkybpd says

    buy levaquin online cheap purchase levofloxacin generic

  2. Djzzkc says

    avodart 0.5mg sale avodart pills ondansetron without prescription

  3. Xknwpa says

    order aldactone generic order fluconazole 200mg online cheap fluconazole 200mg price

  4. Pfhzlw says

    acillin uk buy bactrim online cheap erythromycin 500mg over the counter

  5. Dqnqzu says

    order generic fildena buy bimatoprost sale order robaxin for sale

  6. Xzwifg says

    purchase suhagra generic buy suhagra pills order estradiol 1mg for sale

  7. Rwfcwp says

    order generic lamictal order minipress 2mg pill retin cream cost

  8. Nawunh says

    accutane 40mg brand isotretinoin 20mg tablet buy azithromycin 500mg pills

  9. Tpdxrx says

    buy indomethacin online cheap indocin order order amoxicillin online cheap

  10. Eonxui says

    order anastrozole pills anastrozole 1 mg pill purchase sildenafil pills

  11. Tohdeq says

    tadalafil 40mg comprimГ© tadalafil 40mg generique acheter 200mg du viagra

  12. Xxrlym says

    purchase deltasone pills viagra mail order cheap viagra generic

  13. Mzmtok says

    tadalafil für männer tadalafil 20mg kaufen ohne rezept sildenafil 100mg für männer

  14. Jlpjjx says

    purchase accutane generic accutane 20mg drug stromectol sales

  15. Frawah says

    doxycycline for sale online purchase vardenafil generic order furosemide

  16. Nizdyl says

    ramipril 5mg us order altace online buy azelastine online

  17. Hnerlt says

    order generic clonidine buy clonidine 0.1 mg pill spiriva over the counter

  18. Opwbrn says

    buy buspar online order phenytoin 100 mg for sale ditropan canada

  19. Tiymnx says

    generic fosamax 70mg paracetamol cheap pepcid 40mg over the counter

  20. Rsdwsl says

    buy olmesartan 20mg pill oral verapamil 240mg order diamox

  21. Bewnrc says

    purchase tacrolimus for sale buy urso 300mg without prescription buy urso 300mg generic

  22. Txgbwk says

    imdur 40mg cheap purchase imuran online order telmisartan 80mg

  23. Xksirr says

    order zyban 150 mg for sale cheap zyban 150mg seroquel 50mg over the counter

  24. Kmbuwk says

    buy molnupiravir 200mg pill buy molnupiravir without prescription order lansoprazole 30mg sale

  25. Qnaizk says

    order zoloft 100mg online cheap Buy viagra australia order viagra 50mg pill

  26. Ebzqgu says

    salbutamol 100 mcg brand sildenafil overnight shipping viagra 100mg price

  27. Rhtjax says

    cialis 10mg sale cialis 40mg over the counter order viagra 100mg online

  28. Wwtlto says

    tadalafil 20mg generic buy amantadine 100mg for sale buy generic symmetrel 100mg

  29. Rjrfqf says

    revia 50 mg price order revia 50 mg generic cheap aripiprazole

  30. Hnfrhi says

    provigil over the counter modafinil pills cost of ivermectin cream

  31. Ckrmty says

    buy luvox 50mg generic purchase ketoconazole sale glipizide 5mg price

  32. Fippkw says

    piracetam 800mg for sale viagra drug cost sildenafil 50mg

  33. Hwqzvz says

    cialis 20mg drug oral cialis 40mg sildenafil 100mg pills for sale

  34. Jhbbuv says

    furosemide medication order doxycycline 100mg sale plaquenil cost

  35. Neuvsd says

    tadalafil 20mg price buy clomipramine 50mg online cheap clomipramine pill

  36. Vanufe says

    buy chloroquine 250mg pill chloroquine 250mg for sale baricitinib over the counter

  37. Xznetq says

    cost sporanox prometrium pill tindamax 500mg price

  38. Allvsh says

    buy glucophage generic cheap tadalafil order cialis sale

  39. Aroozu says

    purchase zyprexa online diovan medication order generic diovan 80mg

  40. Wpmjlo says

    order norvasc 10mg amlodipine 10mg oral canadian cialis

  41. Zckzao says

    buy clozaril online cheap order dexamethasone 0,0,5 mg pill cheap dexamethasone 0,0,5 mg

  42. Ypzwiy says

    brand sildenafil 100mg lisinopril pills lisinopril pill

  43. Fcsimf says

    order prilosec 10mg for sale spins real money online best casino online

  44. Ufohfc says

    order linezolid 600 mg for sale casino gambling online casino games for real money

  45. Dimotc says

    research paper help online helpwithassignment online slot games

  46. Oalnuf says

    buy levitra 10mg pills purchase lyrica generic buy medrol 4 mg online

  47. Vfkryi says

    buy clomiphene 100mg generic live blackjack money poker online

  48. Jihova says

    triamcinolone usa desloratadine medication cheap desloratadine

  49. Hremvh says

    buy generic dapoxetine 30mg dapoxetine 30mg drug order synthroid 75mcg generic

  50. Ikkdwf says

    cialis for men over 50 cialis 5mg brand viagra pills 150mg

  51. Knbeqq says

    methotrexate brand coumadin 2mg over the counter buy metoclopramide pill

  52. Umravy says

    purchase domperidone tetracycline 500mg usa purchase cyclobenzaprine generic

  53. Vcelgi says

    losartan generic topiramate 100mg drug topamax brand

  54. Krqiue says

    lioresal online oral toradol toradol 10mg canada

  55. Xlhfui says

    buy imitrex 25mg for sale imitrex price dutasteride canada

  56. Gmnjsu says

    zantac 300mg cost order celebrex 200mg celecoxib 200mg oral

  57. Mfocua says

    bonus casino online casino games casino real money

  58. Xvoczl says

    cialis 40mg us ampicillin 250mg drug purchase ciprofloxacin for sale

  59. Wxsbee says

    metronidazole tablet buy augmentin 375mg pills bactrim pills

  60. Ezopvr says

    diflucan pill sildenafil 50mg drug viagra professional

  61. Synxlx says

    generic keflex 500mg buy cleocin 300mg online cheap erythromycin over the counter

  62. Izeqpa says

    buy ceftin online cheap robaxin 500mg usa methocarbamol 500mg ca

  63. Qoewrk says

    real online casino usa pharmacy cialis cheap cialis 10mg

  64. Ndhnrv says

    desyrel 100mg for sale buy trazodone 100mg sale oral sildenafil 50mg

  65. Olvqap says

    cheap thesis binding buy essay now ivermectin brand name

  66. Zqzikn says

    buy sildalis for sale order lamictal 50mg for sale buy lamictal 50mg online cheap

  67. Oaosek says

    prednisone 40mg usa isotretinoin 40mg brand buy amoxil 1000mg online cheap

  68. Gsxapk says

    order sildenafil generic cialis 20mg ca cheap cialis online

  69. Nmspya says

    online casino real money cialis 5mg generic order cialis 5mg

  70. Vblitu says

    buy zithromax 250mg for sale order gabapentin online cheap order gabapentin 100mg pill

  71. Usdxvx says

    blackjack online money order modafinil 100mg pill provigil sale

  72. Rjzswv says

    cost furosemide order generic furosemide order hydroxychloroquine 200mg online cheap

  73. Zsnksp says

    order generic deltasone order prednisone online cheap order mebendazole 100mg pills

  74. Lqptzq says

    order tadacip 20mg without prescription buy tadacip online buy indocin 75mg sale

  75. Arcoyf says

    naprosyn 500mg sale cefdinir 300 mg ca prevacid 30mg uk

  76. Igkkid says

    brand albuterol buy pantoprazole 20mg without prescription ciprofloxacin buy online

  77. Bieumj says

    buy montelukast 10mg for sale singulair over the counter sildenafil pills 25mg

  78. Ksnqlt says

    buy generic tadalafil Cialis order buy cialis 40mg generic

  79. Xrcuro says

    online blackjack best play casino games for cash best online blackjack real money

  80. Wfmqzq says

    stromectol usa symmetrel drug dapsone generic

  81. Bpelkg says

    best slots to play online play slots free welcome spins no deposit

  82. Bobhbf says

    online blackjack free letter editing cheap essay writer

  83. Uzpsrg says

    ramipril oral amaryl cheap etoricoxib online order

  84. Xtoipc says

    assignments for sale how to write my thesis order generic azulfidine

  85. Ushdmi says

    doxycycline 200mg pills buy ventolin 4mg generic clindamycin cheap

  86. Fpngom says

    buy mesalamine 400mg sale asacol 400mg over the counter order irbesartan 150mg pills

  87. Njctvx says

    benicar pills divalproex 250mg generic depakote 250mg without prescription

  88. Voaydy says

    order acetazolamide 250mg generic buy imdur 20mg online order imuran 25mg generic

  89. Rygrad says

    order digoxin 250 mg pill buy molnunat generic cost molnupiravir 200mg

  90. Mqxikj says

    purchase clobetasol cream buy clobetasol for sale cordarone sale

  91. Samueldam says

    п»їMedicament prescribing information. All trends of medicament.
    https://viagrapillsild.com/# cialis vs viagra vs levitra
    All trends of medicament. What side effects can this medication cause?

  92. Alberthix says

    drug information and news for professionals and consumers. earch our drug database.
    https://tadalafil1st.online/# tadalafil online australia
    safe and effective drugs are available. Cautions.

  93. Eqrzlp says

    fosamax price order motrin without prescription buy motrin 400mg for sale

  94. Bdvcip says

    buy dapoxetine without prescription cost avanafil 100mg motilium 10mg cost

  95. Pinokr says

    nortriptyline 25mg cheap buy paroxetine without prescription paxil 10mg over the counter

  96. Alberthix says

    Comprehensive side effect and adverse reaction information. Get here.
    tadalafil cost india
    safe and effective drugs are available. All trends of medicament.

  97. Tsmsqp says

    order indomethacin 50mg without prescription order cenforce 50mg sale buy generic cenforce 50mg

  98. Cmhcpu says

    pepcid 40mg without prescription famotidine cheap remeron 30mg oral

  99. Tbzbuo says

    order generic doxycycline 200mg buy doxycycline online cheap methylprednisolone 4mg otc

  100. Sabcyf says

    order requip 2mg for sale ropinirole pills trandate pill

  101. Cfafiu says

    buy tadacip 20mg without prescription buy amoxicillin 250mg sale trimox 500mg generic

  102. Ckpsir says

    nexium 40mg capsules nexium 40mg canada order lasix sale

  103. Djyxpt says

    cheap cialis generic tadalafil online without prescription buy sildenafil 100mg online cheap

  104. Wlhhqz says

    purchase tadalafil pill Cialis visa buy ed meds online

  105. Jzjpqa says

    order modafinil 100mg pills buy phenergan generic buy phenergan pill

  106. Ermbnt says

    order prednisone 10mg pill amoxicillin 1000mg canada order amoxil 500mg

  107. Gqngcl says

    clomid us order atorvastatin 40mg online cheap prednisolone 40mg us

  108. Piigzu says

    buy fildena 50mg pills brand propecia 5mg finasteride over the counter

  109. Aetnon says

    accutane uk cheap ampicillin order ampicillin generic

  110. 네이버 아이디 판매 says

    The ID used on the NAVER platform is being sold.I think everyone is well aware of the impact of online advertising in today's era, and there is no need to talk about how important online advertising is.In particular, NAVER is the most basic. 네이버 아이디 판매The reason is undoubtedly because it is the most popular tablet product in China.

  111. 비아그라 says

    When buying Viagra, it's important to get the genuine product from a trusted source. Please carefully check the information on purchase safety, authenticity guarantee, shipping information,비아그라etc. provided on the website, and in case of any problem, we will keep in touch with our customer support team to help you solve the problem.

  112. 비아그라 says

    비아그라는 1998년에 미국 식품의약국(FDA)에 의해 허가된 후, 전 세계적으로 남성들의 성기능 개선을 위해 사용되고 있습니다.

  113. I m going to bookmark your web site and maintain checking for brand spanking new information.

  114. Live TV says

    You’re so awesome! I don’t believe I have read a single thing like that before.<a href="https://www.images.google.de/url?sa=i

  115. fox canli says

    There is some nice and utilitarian information on this site.-vox mediathek

  116. hey dude mens shoes says

    Thank you for great article. look forward to the continuation. – hey dude shoes for men

  117. air jordan 1 white says

    Thank you for great content. look forward to the continuation.

  118. why not find out more says

    What a breathtaking scene, I want to visit this place! Continued

Leave A Reply

Your email address will not be published.

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.